Mwanasiasa wa miraba minne, licha ya kufariki dunia, Z’bar ina mzizimo wa kifo chake *2025 uchaguzi mkuu wa kwanza bila Hamad ...
Waziri wa Afya, Nassor Ahmed Mazrui amesema matumizi ya vyombo vya plastiki yana madhara ya kiafya katika mwili wa binadamu ...
Unguja. Mfumko wa bei kwa Januari 2025 Zanzibar umeongezeka na kufikia asilimia 5.27 kutoka asilimia 4.9 iliyorekodiwa ...
Rais wa Marekani amesema anataka nchi yake ichukue" umiliki wa muda mrefu "wa Gaza, na kuibadilisha kuwa" eneo la kitalii la ...
HISTORIA imeandikwa katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ... Uchaguzi huo uliohusisha nafasi ya Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti Bara na Tanzania Zanzibar, ulianza juzi Januari 21 na kukesha ...
Chanzo cha mgogoro: maelekezo ya usalama wa ndani yaliyotumwa kwa wafanyakazi ambayo yalivujishwa kwenye mitandao ya kijamii, yakiwataka kuweka akiba ya chakula cha wiki mbili, maji, mafuta ya ...
Kulingana na wakili wake Elias Lukwago, Besigye, 68, alianza kususia chakula siku ya Jumatatu kutokana ... mwezi uliopita kwamba ilikuwa ni kinyume cha sheria kwa kesi za kiraia kusikilizwa ...
Jioni hiyo, aliweza kula chakula cha jioni kikamilifu. Bei za chakula zimepanda sana. Passy Mubalama, mtaalamu wa haki za binadamu huko Goma, alisema hivi karibuni alilipa faranga 1,000 za Kongo ...
Siri ya kuhisi vizuri baada ya usingizi mzuri wa usiku inaweza kuwa katika kuamka. Hapa kuna mbinu tano na vidokezo juu ya jinsi ya kuboresha usingizi wako nakupunguza uchovu. Je unahisi uchovu?
Halikadhalika Rais huyo wa Zanzibar amevikaribisha Vyuo Vikuu vya Romania kuja nchini kuangalia maeneo ya ushirikiano na Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA). Vilevile ametumia fursa hiyo kuwakaribisha ...
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limekaribisha mchango wa Shilingi za Uganda bilioni 2.5 (sawa na Dola za Marekani 680,000) kutoka kwa Serikali ya Uganda ili kusaidia ...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi amemuapisha Kamishna Mkuu Mpya wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) Said Kiondo Athumani aliyemteuwa hivi Karibuni. Hafla ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results