Mwanaume mwenye umri wa miaka 49 alifariki dunia huko Palakkad ya Kerala wiki chache zilizopita baada ya kushiriki katika shindano la chakula wakati wa tamasha la Onam. Mshiriki mmoja alikabwa na ...
Kampuni ya huduma za mtandaoni za kutafuta na kuwasilisha chakula nchini India -Zomato imesifiwa kwenye mitandao ya kijamii kwa jibu ililotoa kwa mteja wake wa dini ya Hindu ambae alikataa kupokea ...